Kila mtu hutaka azma yake maishani itimie ili aweze kuwa na maisha mazuri hapo baadaye. Iwapo ndoto na azma zitakuwa ni vigumu kutimia, huwa ni vigumu mtu kuwa na amani maishani kwani mara nyingi mtu hukumbwa na msongo wa mawazo ambayo kwa mara nyingi inaweza kuelekeza mtu kwa utumizi wa mihadarati jambo ambalo linaweza kufanya mtu kuwa na mwelekeo potovu maishani kwa wakati wowote ule.
Nilikuwa kijana ambaye nilizaliwa katika familia ya walalahoi kwenye mtaa wa kigogo Ndoto yangu maishani ilikuwa ni kuwa mwanasoka nchini kwa kuwa hio ndio ilikuwa ni talanta yangu maishani kwani masomo yalikuwa yamenipiga chenga katika kila hali.
Hali iliyonipelekea kupenda mchezo wa kandanda ni kuwa nilivutiwa na wachezaji kama vile Mbwana Samatta wa Tanzania aliyekuwa akicheza kandanda ughaibuni kwa kuwa alikuwa akipokea kipato kizuri.
Nilitia fora kwenye swala zima la kabumbu. Wazazi wangu walinitia moyo kwani pia walifahamu kuwa iwapo ningefaulu kupenya kwenye sana ile, maisha yao pia yangebadilika.
Nilitia bidii ili kuimarisha hali yangu kisoka na mara nyingi nilishinda mtandaoni ili kujipa mafunzo zaidi haswa kwenye mtandao wa You Tube. Nilianza kufuatilia maeneo zinapofanyika shughuli za usajili wa wachezaji wa kandanda katika vilabu mbalimbali nchini na kila mara nilitemwa nje kwa kuwa wengi walisema kuwa sikuwa na ujuzi wa kuwa mwanasoka.
Hii ilikuwa ni mojawapo ya changamoto zilizonifanya mimi kutaka kuasi sanaa hii ya kuwa mwanasoka. Wengine walitaka nitumie njia ya mlango wa nyuma ili kupenyeza katika vilabu vyao. Hii ilikuwa ni ngumu kwa kuwa nilitoka katika familia ya kifukara na kwa hivyo nisingeweza kutoa hela walizotaka ili wanipe nafasi katika timu zao.
Siku zilipoenda ndipo mwanga wangu wa kuwa mwanasoka tajika ulikuwa ukididimia kila kukicha. Marafiki walinicheka kwani wengi wao walisema kwamba azma yangu ile ya kuwa mwanasoka ilkuwa ni vigumu kwa kuwa sikuwa na kipawa cha kucheza mpira licha yangu kujiamini kwamba nilikuwa na uwezo mkubwa wa kuwa mwanasoka katika siku za usoni.
Baba yangu siku moja alinieleza kuwa palikuwa na wavuti ambao ningepata usaidizi kwani rafiki yake alikuwa amesaidiwa kupata mwanga wa maisha yake kupitia wavuti ule
www.kiwangadoctors.com ndio aliokuwa akiongelea.
Nilipitia kila kilichokuwa kikiendelea kwenye wavuti ule na hapo nikakumbana na shuhuda za watu waliosaidiwa kuwa shupavu hata zaidi katika vipawa vyao na madaktari wa Kiwanga. Nilichangisha pesa za nauli kwani nilitaka kuzuru katika ofisi za daktari Kiwanga ili nipate usaidizi wake kwani azma yangu ya kuwa mwanasoka ulikuwa unanipa msukumo zaidi maishani.
Punde tu baada ya pesa kufika idadi hitajika, nilifunga safari na kuelekea katika ofisi za daktari Kiwanga mjini Nakuru. Kwa kweli alintabiria kipawa changu kilikuwa ni kulicheza kabumbu. Nilishangaa alivyojua lakini akanieleza kuwa alikuwa na uwezo huo. Siku tatu baada ya kutoka kwa daktari Kiwanga, nilipata mwaliko wa kuweza kuichezea kilabu moja ya ligi ya Kenya.
Nilicheza kwa muda wa miezi minane hivi. Maisha yangu pamoja na wazazi wangu yalianza kubadilika kwa kasi. Baada ya muda mchache nilipata kilabu ya kichina na hapo mshahara ulikuwa ni marudufu. Ama kwa hakika madaktari wa Kiwanga walikuwa ni watu wenye ueledi katika swala zima la tiba za mitishamba ambao walisaidia watu kufikia ndoto zao.
Wanasuluhisha mizozo ya ndoa, migogoro ya mashamba na mengineyo. Wanasuluhisha pia na kumaliza nguvu za kiuchawai kwenye maisha yako, kurejesha mali ambayo ulitwaliwa na adui zako na kuimarisha biashara yako ambapo mabadiliko huonekana baada ya muda wa miezi tatu pekee. Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965.